ARUSHA JOURNALISM TRAINING COLLEGE

ARUSHA JOURNALISM TRAINING COLLEGE
CHUO BORA CHA UANDISHI WA HABARI TANZANIA

Thursday, January 21, 2016

HABARI PICHA MBUNGE WA MONDULI MHESHIMIWA KALLANGA ALIPOZURU MTO WA MBU KUSHUHUDIA UHARIBIFU MKUBWA WA MAZAO

mbunge wa monduli bwana Julias Kallanga akiangalia mashamba yaliyoharibiwa na upepo mkali ulioharibu mashamaba haoy eneo la mto wa mbu mkoani Arusha. ameiomba serikali kutoa msaada wa chakula kwa kaya zaidi ya mia mbili ambazo zipo hatarini kukosa chakula kutokana na uharibifu huo

hapa akiwapa moyo wamoliki wa mashamba hayo na jinsi ya kuweza kujikwamua na tatizo hilo linaloikabili jamii hiyo ya watu wa mto wa mbu

No comments:

Post a Comment